Wednesday, September 19, 2012

MAJINA YA MENGIne

Mgombea alienda ktk kampeni za uchaguzi kwenye kijiji cha SENGE mkoani Ruvuma.
Salam ikawa hivi;
Mwenyekiti na Katibu wa Senge ; Ndg Wanachi wa Senge , Vijana, Wazee na Watoto wa Senge , Mabibi na Mabwana wa Senge..
Habari zenu
Watu kimyaaa..
Akaendelea ,
" Wasenge Oyeee...!!'.
Wananchi, 'Mwenyeweee

No comments:

Post a Comment