Wednesday, July 4, 2012

SOMO LA MAADILI

mwalimu mmoja alikuwa akifundisha wanafunzi maadili...akauliza;mfano umemtoa msichana outing siku ya kwanza ukampeleka mgahawani kwa ajili ya chakula cha usiku.ukataka kwenda kukojoa utamwambiaje?...

juma akasimama na kusema;ntamwambia,'dia,naenda chooni mara moja.....mwalim akajibu;sio vizur kusema neno chooni wakat wa mlo......

mike akasimama na kusema;nitamwambia dia,nsubir mara moja naenda kukojoa....mwalimu akasema;angalau,lakin kukojoa haipendez sana mkiwa mezani.....

mwisho john akasimama na kusema;nitamwambia samahani dia, naomba unisubiri mara moja naenda kupeana mkono na rafiki yangu ambaye ninamini utakutana naye baada ya mlo....

No comments:

Post a Comment