Friday, July 6, 2012

JAPANESE TEAM

JAPANESE NATIONAL TEAM imekatatiliwa kuja bongo kucheza coz walidhani kuwa majina yao ni mtusi. Line up,
1.Yamashika Yamamoto(gk)
2.Bunaka Tanaka
3.Kanatomba Hakamwagi (cpt)
4.Kumamoto Inanuka
5.Akishunda Tunakufa
6.Akijamba Anakunya
7.kakumakangu Sikupi
8.Nyegezito Natakabwana
9.Shikashika Takolangu
10.Tiamkono Nusa
11.Kanapenda Punyeto
sub
1.Kumando Mladi
2.Motomoto Haraka

Usikurupuke km Bibi hapa

Chifu alitaka kujua idadi ya makahaba kwenye kijiji chake. Makahaba walipokuwa kwenye foleni bibi kizee mmoja akapita na kumuona mjukuu wake yumo katika foleni. Bibi akauliza
'hapa kuna nini mjukuu wangu?'
Mjukuu akamjibu;
'Chifu anagawa maembe'
Kwa uchu wa roho ya tamaa, bibi akaunga foleni. Chifu katika kupita kwenye foleni akamuona bibi akamuuliza 'Na wewe bibi upo huku?'
Bibi akajibu 'Tena mimi ni stadi wa kunyonya na kuramba mpaka kokwa'
"Dunia imekwisha"

SOma jamaa alivyokufa.......

jamaa wawili wako baa wakipiga gambe na stori.wakwanza akasema hivi ulisikia mike alikufa?
wa pili;hapana.ilikuwaje kwani?
wa kwanza:alikuwa anakuja nyumbani kwangu akiendesha gari yake. sasa alikuwa spidi kali na hakushika breki vizuri kwahio gari yake ikagonga geti na kubilingita na yeye akarushwa mpaka ghorofa yangu ya kwanza na akapasua kioo akadondoka chumban.
wa pili,'dah,kifo kibaya sana.
wa kwanza,hakufa,baada ya kugaagaa akaona kabati la nguo na akashika mshikio wake ili ajivute asimame ila kabati lote likamdondokea na kumvunja mifupa yake mingi tu.
wa pili;maskin, kifo kibaya
wa kwanza,'hakufa bado.alitambaa mpaka akatoka chini ya kabati hadi nje ya chumba.akashika ukingo wa ngazi zilizokuwa zinashuka chini.sababu ya uzito wake na jinsi alivyokuwa amezishika hizo kingo zikavunjika na yeye akaanguka hadi chini na kingo zikamponda kwa juu.
wa pili huku akitikisa kichwa,'mama yangu.kifo gani kibaya ivo....'
wa kwanza;aliweza kupona hilo.akatambaa mpaka jikoni akataka ajivute asimame bahat mbaya akashika mkono wa sufuria lililokuwa na maji ya moto.yote yakamwagikia na kumbandua ngozi ya sehm kubwa tu.
wa pili,'hicho kifo kinasikitisha sana
wa kwanza hakufa;alijikaza akaona simu akataka apige watu wamsaidie lakin akashika waya wa umeme badala ya wa simu na alipouvuta ukakatika.umeme na maji havipatani, akapigwa shoti kubwa sana.
wa pili;mama weee.hicho kifo kinatia huruma sa...
wa kwanza;hakufa hapo ali.....
wa pili;sasa niambie alikufaje....
wa kwanza;nlimpiga risasi
wa pili;kisa?
wa kwanza;ALikuWa ANa haRiBu NyumbA Yangu.............

Wednesday, July 4, 2012

POMBE AAH CTAKI TENA

Mlevi kafika kwake kalewa njwiii, akawa anapata tabu kuingiza funguo kwenye kitasa mlangoni ili afungue mlango. Jirani akamuuliza:
"Unataka msaada, naona una tatizo kidogo..."

Jamaa akajibu,
"Nataka msaada tena sana jirani yangu, hebu shikilia hii nyumba nifungue mlango maana kila nikitaka kuingiza funguo kwenye kitasa nyumba inacheza..."

MAPENZI YA SIKU HIZI

Simu iliita:
Mume: Hello baby!
Mke: Hello swt!
Mume: Nitachelewa kurudi leo.
Mke: Nilishajua uko kwa vijanamke vyako, wewe ni malaya sn, sijui ilikuaje nilikukubali! Nakuchukia km nini, sikupendi sikupendi!
Mume: Niko Bank hapa......
Mke: Haaaaa! Ulijuaje km sina hela, nitolee laki moja nadaiwa baby, nakupenda sana kuliko roho yangu, nakutekea maji ya kuoga swity wangu. Usisahau hizo pes, ninunulie na chips kuku....mwaaaaaaa!
Mume: ....ni BANK YA KUCHANGIA DAMU!
Mke: nyoooooooooooooooooooooooo!

SOMO LA MAADILI

mwalimu mmoja alikuwa akifundisha wanafunzi maadili...akauliza;mfano umemtoa msichana outing siku ya kwanza ukampeleka mgahawani kwa ajili ya chakula cha usiku.ukataka kwenda kukojoa utamwambiaje?...

juma akasimama na kusema;ntamwambia,'dia,naenda chooni mara moja.....mwalim akajibu;sio vizur kusema neno chooni wakat wa mlo......

mike akasimama na kusema;nitamwambia dia,nsubir mara moja naenda kukojoa....mwalimu akasema;angalau,lakin kukojoa haipendez sana mkiwa mezani.....

mwisho john akasimama na kusema;nitamwambia samahani dia, naomba unisubiri mara moja naenda kupeana mkono na rafiki yangu ambaye ninamini utakutana naye baada ya mlo....

MUUMINI WA KWELI NDO HUYU.

BAADA YA MAUBILI mchungaji aliwaambia waumini wafunge macho ili waombe, basi akainama akachota pesa kwenye kapu kukusanya sadaka (kaiba pesa). Kuinua macho akakutana na mzee aliyekuwa anaingia kanisani. Mchungaji akasema hivi "HERI YAKE YULE ASIYESEMA YALE ALIYOSHUUDIA KWA MACHO YAKE YOTE" na mzee akamalizia akisema " UJUE ATAPATA MGAO WAKE WOTE BAADA YA MISA KUISHA".

Monday, July 2, 2012

UKIMWI NA FAIDA ZAKE

Faida 6 za kuwa na ukimwi.
1. unatembelewa,
2.unapewa msosi mzuri
3. kila m2 anakuhurumia
4.unajisaidia hapo, huendi chooni
5.ukijitangaza unakuwa shujaa
6.kama ni mfungwa unapata msamaha
AMBUKIZWA SASA.

MVUTA BANGI

Mvuta bangi kaposa mtoto wa kike mwembamba sana,siku ya harusi mama mkwe akamzungushia mwanae magazeti apate kuonekana kajazia. Muda wa kufanya mapenzi, mvuta bangi kila akichana gazeti anaona gazeti jingine,akachoka! Akampigia simu mkwewe,akamuuliza: eti mama mkwe, kuma ya mwanao iko ukurasa wa ngapi?

KUTANA NA BIBI AKIWA MAHAKAMANI

HAKIMU: Bibi, hebu ieleze mahakama kilichotokea.
BIBI: Nilikuwa nimelala nyumbani kwangu usiku wa manane,mlango unavunjwa na anaingia huyu kijana, aliyesimama pale.
HAKIMU: Endelea, Bibi.
BIBI: Si, akanivua nguo zote na kunipanda.
HAKIMU: Enhee!
BIBI: Akawa anakata kushoto, mimi kulia. Alidhani mimi siyawezi!
HAKIMU: Enhee!
BIBI: Kila akikata, na mimi najibu! akikata na mimi nimo,hadi raha
HAKIMU: Haaa!sasa tatizo lililokuleta hapa mahakamani ni nini?
BIBI: Atengeneze ule mlango aliouvunja

BIBI BOMBA

Mwanajeshi alikuwa kwenye vita aliwateka adui zake watatu wasichana wawili na bibi kizee mmoja, mwanajeshi kwa kiburi akawaambia " Sasa adhabu yenu nawatomba wote!"....
Wale wasichana wawili wakasema "Sawa lakini tunaomba bibi yetu umuhurumie usimtombe hivyo tutamsaidia adhabu yake tafadhali,."..
Bibi kizee kusikia hivyo akadakia " Komeni kabisa,adhabu hii ni kwa wote. Na kumbukeni adui ni adui tu hata awe bibi kizee kwani mimi sina nyege. Hebu endelea na adhabu yako baba.

HUYU JAMAA NAYE...........

Ustadh alkuwa anawahmza waumin kutoa HELA Kwa ajili ya kuzungusha ukuta MAKABURI kuna mlev m1 akamuulza ustadh kwamba kwan mpaka sasa kuna maiti yeyote aliyetoroka?

MIsemo ya kwenye Daladala

Hii ni baadhi ya misemo ilyoandkwa kwenye magari espcl daladala...ongezea wowte unaoukmbka.. 1.Super market hawauzi mkaa.. 2.kama mapenz ni pesa kafunge ndoa na benki..3.Usiku wa deni haukawii kucha..4.nyuki hakumbatiwi..5.Ukisinzia tunakusachi... 6.imekushinda penati utaweza kona..7Vinyago nivichonge mwenyewe halafu vinitishe?!!
..8.Wamekataa kona wanakubali penati..9.We nisubiri mi nakungoja. 10..Shimo la panya halizibwi kwa mkate